
Tanzanian crooner Diamond Platnumz recently introduced his new girlfriend to his family.
The Utanipenda hitmaker and Tanasha have been serving up couple goals and many think they’re a perfect match made in heaven and should settle down.


I MET HIM 2 YEARS AGO IN A CLUB BUT NEVER SPOKE UP UNTIL END LAST YEAR.
SWALA LA KUOA LIPO LAKINI YEYE MWENYEWE NDIYE MWENYE CHAGUO LA KUMUOA NANI. SISI TUNAMSIKILIZA YEYE ATAKACHOAMUA, SISI TUNAFATA. HUWEZIKUMPANGIA MTU KWA SABABU MWISHO WA SIKU YULE MTU HULALI NA YEYE.
YEYE NDO ANAYELALA NA YEYE, NDIO ANAYEPATA RAHA. NAMTAKIA KILA LA HERI NA MWENYEZI MUNGU AMFANYIE WEPESI MAAMUZI YAKE ANAYOTAKA KUYAFANYA MWAKA HUU USIPITE ATIMIZE LENGO LAKE.